BARAZA LA MITIHANI LA TAIFA (NECTA)
Mtoto Francis Hussein Gwagi kutoka Shule ya Msingi Paradise iliyopo mkoani Chato amekuwa mwanafunzi bora na kushika namba moja kitaifa kwenye matokeo ya darasa la saba 2019 kwa upande wa wavulana.
Angalia zaidi kupitia https://matokeo.necta.go.tz/psle/psle.htm
0 Comments